Featured
Loading...

Rais Magufuli kuhudhuria sherehe za kuapishwa Rais Uhuru Kenyatta

Rais Dkt. John Pombe Magufuli ataungana na viongozi wa mataifa mbalimbali kuhudhuria sherehe za kuapishwa Uhuru Kenyatta kuwa Rais wa Kenya kwa kipindi cha awamu ya pili.

Sherehe hizo zitafanyika Jumanne Novemba 28, 2017 jijini Nairobi, Kenya.


Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
© Copyright MZALENDO HURU
Back To Top