Featured
Loading...

Mbunge Hussein Bashe awaomba radhi watanzania

Mbunge wa Nzega Mjini, Hussein Bashe (CCM) amewaomba radhi wananchi wa jimbo lake na watanzania kwa ujumla kama atakuwa aliwakosea kwa namna moja ama nyingine wakati akitekeleza majukumu yake kwa mwaka 2017.

Bashe ametoa rai hiyo kupitia salamu za Christmas na Mwaka Mpya alizozitoa ambapo pia ameishukuru serikali ya awamu ya tano chini ya Rais Magufuli kwa miradi ambayo imetekeleza jimbo kwake.

Isome hapa chini barua ya salamu za Christmas iliyotolewa na mbunge huyo.



Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
© Copyright MZALENDO HURU
Back To Top