Featured
Loading...

Mwenyekiti wa CCM Mkoa Apata Ajali na Familia Yake

Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Singida, Juma Kilimba amepata ajali ya gari lake kupinduka leo akiwa na familia yake, wamepelekwa katika hospital ya Wilaya ya Kiomboi kwa ajili ya matibabu.

Mke wake na watoto wawili wamepewa rufaa, lakini yeye na wanae wengine wawili wapo Hospitali ya Wilaya Kiomboi. Mtoto mmoja hawezi kusafirishwa sababu hali yake sio nzuri.

Taarifa zaidi endelea kutembelea mtandao huu



Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
© Copyright MZALENDO HURU
Back To Top