Mwenyekiti
wa CCM Mkoa wa Singida, Juma Kilimba amepata ajali ya gari lake
kupinduka leo akiwa na familia yake, wamepelekwa katika hospital ya
Wilaya ya Kiomboi kwa ajili ya matibabu.
Mke
wake na watoto wawili wamepewa rufaa, lakini yeye na wanae wengine
wawili wapo Hospitali ya Wilaya Kiomboi. Mtoto mmoja hawezi kusafirishwa
sababu hali yake sio nzuri.
Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )