Featured
Loading...

Msikilize kwa makini mkuu mpya wa wilaya ya Kinondoni


April 28 2016 Mkuu mpya wa wilaya ya Kinondoni, Ally Hapi amekutana na wanahabari na kuzunguzia mambo kadhaa yanayohusu wilaya yake. 
Miongoni mwa vitu ambavyo mkuu huyo wa Wilaya amezungumzia ni pamoja na agizo la Rais wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Pombe Magufuli la kuwatoa katika mfumo wa mishahara watumishi hewa…
>>>“nimekuta taarifa ya watumishi hewa 34 ambao walikuwa wameisababishia hasara serikali ya zaidi ya Tsh milioni 512, nilivyoteuliwa kuwa mkuu wa wilaya wiki moja iliyopita nimelifanyia kazi na kubaini watumishi hewa wapya 55” :-Ally Hapi

Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
© Copyright MZALENDO HURU
Back To Top