Meneja Masoko wa ZIFF,Isiaka Mlawa…
Ndani ya filamu 90 zilizopita,kwa mara ya kwanza Tanzania tumepitisha filamu 16 ambapo Tanzania bara zikiwa 12 na Tanzania visiwani(Zanzibar) filamu 4,Mlawa amesema Watanzania wengi wamekua na hofu ya kuhudhuria matamasha kama haya kwa kuhofia viingilio na kusema kuwa kiingilio kikubwa cha ZIFF ni Tsh.5,000 na amesema kuangalia filamu ambayo kuanzia saa 12 jioni mpaka saa 4 usiku hakuna malipo yoyote ni bure,malipo yanahusu zaidi utumbuizaji (performance) na shughuli ya utoaji wa tuzo.
Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )