Kamati ya 
mawaziri wa mikopo ya serikali za wanafunzi wa Elimu ya juu nchini 
Tanzania inayoundwa na mawaziri, Manaibu waziri na makatibu wa wizara ya
 mikopo kutoka vyuo vyote nchini leo July 16 2016 wamkutana na waandishi
 wa habari jijini Dar es salaam.  
Kamati 
hiyo imeelezea masikitiko yao kwamba kwa kipindi cha mwisho wa mwezi huu
 wanafunzi wa elimu ya juu watatakiwa kufika katika vituo vyao vya kazi 
vilivyosambaa nchi nzima ili kuendelea kupata mafunzo kwa vitendo ila 
wamesikitishwa kwamba wakati wakijiandaa na hilo  hakuna mchakato wowote
 unaoendelea kupelekea kupata fedha hizo
Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
 
 
 
 
 
 
 
 
