Swizz Beatz ni producer mkali ambaye hata ukisema utaje majina makubwa ya Maproducer wakali watano Marekani huwezi kumsahau.
Sasa leo June 20, 2016 ameingia kwenye headlines baada ya kupost picha katika ukurasa wake wa instagram akiwa na mkali kutokea Nigeria, Wizkid ikiashiria tutegemee kitu kizuri kutoka kwa wawili hao.
Pichani:Wizkid aliungana na Chris Brown
kufanya show ya pamoja kwenye ukumbi wa Ziggo Dome huko Amsterdam
ambapo wawili hao waliimba kwa mara ya kwanza wimbo wao mpya uitwao ‘African Bad Girl’.
Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )